vitumbua
Author: Unknown // Category:
Mahitaji:
- Unga wa mchele ½ kg
- Sukari vijiko 4 vya mezani
- Tui bubu la nazi
- Mafuta ya kupikia
- Unga wa hiliki ½ kijiko cha chai
- Hamira kijiko 1 cha chai
- Chuma cha vitumbua
Maandalizi:
- Chukua unga wa mchele na weka kwenye bakuli au sufuria ya kilo moja
- Weka hamira kisha weka sukari kisha miminia tui katika mchanganyiko wako
- Weka hiliki koroga hadi view uji mzito
- Acha uji huo kwa muda wa saa moja hadi uumuke, mara nyingi kuumuka kunategemea na hali ya hewa,
- Baada ya hapo weka mafuta kijiko kimoja cha chakula kila kishimo acha yapate moto
.jpg)
0 Responses to "vitumbua"
Post a Comment