Saturday, March 8, 2014

vitumbua


Mahitaji:
  • Unga wa mchele ½ kg
  • Sukari vijiko 4 vya mezani
  • Tui bubu la nazi
  • Mafuta ya kupikia
  • Unga wa hiliki ½ kijiko cha chai
  • Hamira kijiko 1 cha chai
  • Chuma cha vitumbua
Maandalizi:
  • Chukua unga wa mchele na weka kwenye bakuli au sufuria ya kilo moja
  • Weka hamira kisha weka sukari kisha miminia tui katika mchanganyiko wako
  • Weka hiliki koroga hadi view uji mzito
  • Acha uji huo kwa muda wa saa moja hadi uumuke, mara nyingi kuumuka kunategemea na hali ya hewa,
  • Baada ya hapo weka mafuta kijiko kimoja cha chakula kila kishimo acha yapate moto

0 comments:

Post a Comment