biringanyi ya mbogamboga
Author: Unknown // Category:
Mahitaji:
- ½ kg mchele wa basmati
- Kitunguu maji kikubwa 1
- Nyanya 1 kubwa
- Karoti 1 kubwa
- Njegere robo kikombe
- Kiazi ulaya 1 kikubwa
- Tangawizi za kusaga kijiko 1
- Kitunguu swaumu cha kusaga kijiko 1
- Karafuu kijiko 1
- Majani ya kotimili fungu 1
- Maziwa ya mtingi ¼ kikombe
- Chumvi na pilipili kiasi
- Unga wa dhani kijiko 1 cha mezani
- Juisi ya limao kijiko 1 cha mezani
- Mafua ¼ lita
Maandalizi:
- Chemsha mchele na kisha weka pembeni
- Osha mbogamboga zote isipokuwa vitunguu na nyanya
- Changanya mtindi na tangawizi pamoja na kitunguu swaumu viache vikae kwa muda wa saa moja
- Chukua sufuria weka mafuta na kisha kaanga vitunguu maji, weka nyanya, chumvi, kotimili na limao halafu weka karafuu na kanga hadi vichanganyike vizuri
- Miminia mchanganyiko wa mtindi na baadaye weka pilipili na baadaye weka unga wa dhania
- Chukua mchele uliochemshwa changanya na mchanganyiko huo
- Palia moto juu ya chakula chako na acha kwa muda wa dakika 30
- Baada ya hapo chakula chako cha biriani kitakuwa tayari kwa kuliwa
.jpg)
0 Responses to "biringanyi ya mbogamboga"
Post a Comment